

Mabao ya Yanga yalifingwa na Hamis Kiiza mabao matatu, Said Bahanuzi mabao mawili, Stefano Mwasyika na Nizar Khalfan kila mmoja bao moja.

Kwa matokeo hayo, APR,Atletico na Yanga zimetinga hatua ya robo fainali ya michuano hiyo, Huku El-Salam Wau inayoshiriki kwa mara ya kwanza ikisubiri mechi ya kukamilisha ratiba dhidi ya Atletico, Yanga wao watakua na kibarua kigumu dhidi ya APR.
KUNDI A
[Timu 3 kwenda Robo Fainali]
Simba
URA [Uganda]
Vita [Congo DR]
Ports [Djibouti]
KUNDI B
[Timu 2 kwenda Robo Fainali]
Azam FC
Mafunzo [Zanzibar]
Tusker [Kenya]
[Timu 3 kwenda Robo Fainali]
Yanga
APR [Rwanda]
Wau Salaam [Sudan Kusini]
Atletico [Burundi]
RATIBA/MATOKEO:
Julai 14 Jumamosi
APR 7 WAU SALAAM 0
YANGA 0 ATLETICO 2
Julai 15 Jumapili
3 AZAM 1 MAFUNZO 1
4 VITA CLUB 7 PORTS 0
5 SIMBA 0 URA 2
Julai 17 Jumanne
6 ATLETICO vs APR [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
7 WAU SALAAM vs YANGA [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Jumatano Julai 18
8 VITA CLUB vs URA [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
9 PORTS vs SIMBA [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 19 Alhamisi
10 ATLETICO vs WAU SALAAM [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
11 MAFUNZO vs TUSKER [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 20 Ijumaa
12 PORTS vs URA [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
13 YANGA vs APR [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
Julai 21 Jumamosi
14 AZAM vs TUSKER [Uwanja wa Taifa, Saa 8 Mchana]
15 SIMBA vs VITA CLUB [Uwanja wa Taifa, Saa 10 Jioni]
ROBA FAINALI
Julai 23 Jumapili
16 B2 vs C2
17 A1 vs C3
Julai 24 Jumatatu
18 C1 vs A2
19 B1 vs A3
NUSU FAINALI
Julai 26
20 Mshindi 16 vs Mshindi 17
21 Mshindi 18 vs Mshindi 19
Mshindi wa 3:
Julai 28 Jumamosi
Aliefungwa 20 vs Aliefungwa 21
FAINALI:
Julai 28 Jumamosi
23 Mshindi 20 vs Mshindi 21
kwa Hisani ya sokainbongo
No comments:
Post a Comment