BUKOBA SPORTS

Sunday, May 4, 2014

VODACOM PREMIER LEAGUE: ARSENAL 1 v WEST BROM 0, GUNNERS WAKOMAA KUCHEZA UEFA MSIMU UJAO!! WABAKI NDANI YA "TOP 4" GIROUD AKIFUNGA BAO LA PEKEE!!!

Opener: Olivier Giroud gave Arsenal the lead with a header after 13 minutesBAO la Dakika ya 14 la Olivier Giroud limewapa Arsenal ushindi wa Bao 1-0 walipoifunga West Bromwich Albion Uwanjani Emirates na hiyo ni Mechi yao ya mwisho Uwanjani hapo kwa Msimu huu.
Arsenal tayari wameshajihakikishia kucheza UEFA CHAMPIONS LIGI Msimu ujao baada ya Jana Everton, waliokuwa wakiwakimbiza kugombea Nafasi ya 4, kufungwa na Man City Bao 3-2.
Set piece: Arsenal took an early lead after Giroud headed home a Santi Cazorla corner
Goli hilo la Giroud lilifungwa kwa Kichwa alipounganisha Kona ya Santi Cazorla.
Opener: Giroud (12) celebrates scoring his 22nd goal of the season as Arsenal fans cheers him on
West Brom bado hawana hakika kubakia Ligi Kuu England lakini ikiwa Leo Norwich City watafungwa na Chelsea basi wao watapona na Norwich kuungana na Cardiff na Fulham ambazo zilishushwa Daraja Jana.
Head this way: Giroud is congratulated by his Arsenal team-mates after putting the Gunners in the leadGiroud akipongezwa na wenzake!Last laugh: Giroud scored the only goal of the game as Arsenal won their final home game of the season
Giroud akishangilia...
Meneja Pepe Mel akiwa amesimama kipindi cha kwanza kuwaangalia vijana wake wakisakata kabumbu!!

Mashabiki wa West Brom wakishangilia timu yao leo hii

LIGI KUU ENGLAND
RATIBA/MATOKEO
Jumapili 4 Mei 2014

Arsenal 1 v West Brom 0
Chelsea 0 v Norwich 0


Jumatatu 5 Mei 2014
22:00 Crystal Palace v Liverpool

Jumanne 6 Mei 2014
21:45 Man United v Hull

Jumatano 7 Mei 2014
21:45 Man City v Aston Villa
21:45 Sunderland v West Brom

No comments:

Post a Comment