
Wachezaji wa Liverpool wakijiandaa kuanza kipute

Kocha wa Majogoo, Liverpool Brendan Rodgers

Suarez kwenye patashika

Martin Skirtel alijifunga bao la kwanza na kuwapatia zawadi ya bao Newcastle..

Mpaka ndani ya nyavu

Luis Suarez akishangaa!!

Ilikuwa si lelemama mtanange huu!! Mashambulizi yalikuwa makali pamoja na Newcastle kutolewa nje wachezaji wake 2 kwa kadi nyekundu

Wachezaji wa Newcastle wakishangilia bao la kwanza

Suarez akishangilia bao baada ya kusawazisha na kufanta 1-1

Danniel Sturidge akifanya 2-1

Bora leo...Sturridge akishangilia baada ya kufunga bao la ushindi.
No comments:
Post a Comment