Ospina, mwenye Miaka 25, amekuwa na Nice tangu 2008 na ameisaidia Colombia kwenye Fainali za Kombe la Dunia huko Brazil kufika Robo Fainali na kutolewa na Brazil.
Meneja wa Arsenal, Arsene Wenger, amesema: “David ni Kipa mzuri. Ataongezea nguvu kwenye Kikosi chetu na tumefurahi sana.”
Tayari Wenger amedokeza Ospina anaweza kumpokonya Namba Kipa Namba Wani wa Arsenal Wojciech Szczesny.
No comments:
Post a Comment