Tuesday, January 16, 2018

UHAMISHO 2018: DILI LA ALEXIS SANCHEZ KUTUA MAN UNITED NI KAMA TAYARI LIMESHAELEWEKA, WADAU WAJIULIZA ATAFITI WAPI PALE....! FATILIA NA TETESI NYINGINE HAPA!


Ilikuwa ni ushindi mwingine wa Manchester United jana usiku - lakini hadithi bado Alexis Sanchez. Wachezaji wa Jose Mourinho walimpiga Stoke City akianza Antonio Valencia, Anthony Martial na Romelu Lukaku. Hata hivyo, vichwa vya habari vya nyuma vinaendelea kuhamisha. Manchester City sasa imejitoa kwenye  mbio za kumwania Sanchez, lakini Chelsea nayo imeweka mkono kwenye dili hili ikimtaka nayo mchezaji huyo raia wa Chile. Kwa mtazamo wa umoja, Mourinho alikiri kwamba Henrikh Mkhitaryan angeweza kuingizwa katika mpango wowote wa Sanchez lakini mpaka sasa hakuna kitu kama hicho. Akizungumza kuhusu Sanchez, Mourinho alisema: "Sio uhakika lakini pia sio, ni nini kinyume? Usijisikie. "Tuna hisia kwamba yeye ni mchezaji wa Arsenal, tuna hisia kwamba anaweza kukaa pale, lakini pia hisia anaweza kuhamia kwetu  na ikiwa anaenda nadhani tuna nafasi lakini labda mchezaji kama yeye ana klabu nyingine kubwa nia na ambaye anajua ni yeye tu. "

Ikiwa Alexis Sanchez anaashiria kujiunga na Manchester United, wakala wake inaaminika atakuja kupata zaidi ya £ 10 milioni. Na haki ya kutosha, anastahili. Kwa kiasi kikubwa, anafanya. Kuna usawa mwingi usiofaa wa soka. Bonuses za Agent huyo zimewekwa dhidi ya £ 200,000 ya papo hapo itachukua ili Hartlepool iendelee mwezi huu. Hata hivyo mshauri wa Sanchez sio sababu Hartlepool inaenda skint. Sisi sote tunajua kwa nini Hartlepool inaenda skint. Ikiwa Fernando Felicevich (aliyefanyika na Sanchez, kushoto na katikati) anamtoa mteja wake Old Trafford, hata hivyo, atakuwa na thamani ya kila mia moja ya malipo ya Umoja wa ukarimu.

Fernando Felicevich (L) has overseen Sanchez's moves to Udinese, Barcelona and Arsenal
Fernando Felicevich (kushoto) akiwa na  SanchezArgentine Felicevich pia ni agent wa  Arturo Vidal (kulia)

Kama Alexis Sanchez atajiunga na Klabu ya Manchester United, agent wake anaweza akapata kitita kikubwa cha £15million

KUHUSU FERNANDO FELICEVICH NA WACHEZAJI WAKE
Alexis Sanchez, Arsenal
Arturo Vidal, Bayern Munich
Claudio Bravo, Manchester City
Charles Aranguiz, Bayer Leverkusen
Gary Medel, Besiktas 



Manchester City wameamua kuacha kutafuta mshambuliaji wa Arsenal Alexis Sanchez.
Taarifa zinasema klabu hiyo imeamua kufanya hivyo baada ya kuwa itakuwa ghali sana kuendelea kutaka kumnunua mchezaji huyo raia wa Chile mwenye miaka 29.

Meneja Pep Guardiola, mmiliki wa klabu hiyo Khaldoon al Mubarak na maafisa wengine wakuu wa klabu hiyo wote wamekubaliana na msimamo huo.

Inaarifiwa kwamba ujira anaotaka Sanchez utamfanya kuwa mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa zaidi miongoni mwa wachezaji wa City iwapo atahamia klabu hiyo.

Hili ni jambo ambalo klabu hiyo haiko tayari kufanya.

Manchester United sasa wana nafasi nzuri ya kumnunua mchezaji huyo baada ya kudokeza kwamba wako tayari kulipa £35m ambazo Gunners wamekuwa wakitaka kulipwa.

Duru zinasema kwamba Chelsea pia wameanza kumnyatia mchezaji huyo.
Taarifa zinasema gharama kamili ya uhamisho wa Sanchez ambayo inajadiliwa ni zaidi ya £60m ambazo Arsneal walikuwa wamekubali kuwauzia City majira ya joto yaliyopita.

City bado wanaamini Sanchez angelipenda kujiunga nao, ikizingatiwa kwamba amewahi kucheza chini ya Guardiola zamani, wakiwa Barcelona.

Aidha, Sanchez mwenyewe ndiye aliyekuwa akishinikiza kuhama kwake Agosti.
Hata hivyo, wanaamini uwezekano wa Sanchez kushusha madai yake ya mshahara hadi kiwango ambacho watamudu ni finyu.

Akizungumza baada ya ushindi wao wa 3-0 dhidi ya Stoke Jumatatu, meneja wa United Jose Mourinho alisema: "Hakuna taarifa zozote mpya kumhusu Sanchez. Bado ni mchezaji wa Arsenal; akisalia Arsenal, vyema, akija kwetu, vyema kwetu, akihamia klabu nyingine, vyema kwao.

"Huenda pengine kuna klabu nyingine zinazomtaka na zinajaribu na sifai kuzungumzia mchezaji ambaye bado yuko Arsenal.


"Sina imani lakini sijakosa imani sana. Akichukua hatua, nafikiri tutakuwa na nafasi."

Arsenal wako kwenye mazungumzo kumsani mchezaji wa Borussia Dortmund na Gabon Pierre-Emerick Aubameyang kuchukua mahala pake Alexis Sanchez. (Mirror)

Arsenal wako mbioni na pauni milioni 53 kumpata Aubameyang 28. (Mail)
Na Jose Mourinho anasema kuwa hana ukakika kuwa atamleta Sanchez huko Manchester United. (Mirror)

Chelsea pia wamejiunga katika mbio za kumpata Sanchez lakini United wana uhakika kuwa kumpeana Henrikh Mkhitaryan, 28, kama sehemu ya makubaliano inawaweka katika nafasi nzuri. (Telegraph)
Mshambuliaji wa Real Madrid na Ureno Cristiano Ronaldo, 32, anataka kurudi Manchester United. (As.com - in Spanish)

Kiungo wa kati Emre Can, 24, anasema kuwa hajasaini makubaliano ya kujiunga na Juventus msimu huu na bado anazungumza na Liverpool kuhusu kuendelea kubaki huko Anfield. (Times - subscription required)

Swansea City wamefanya mazungumzo na Atletico Madrid kuhusu makubaliano ya kuwaleta mshambuliaji wa raia wa Ufaransa Kevin Gameiro 30, na mBrazil Nicolas Gaitan, 29, huko south Wales Januari hii. (Wales Online)
Refa aliyempiga teke mchezaji asimamishwa kazi Ufaransa

Everton wanajaribu kukamilisha makubaliano ya pauni milioni 20 kwa wing'a wa Arsenal na England Theo Walcott 28, wiki hii. (Mirror)
Bournemouth nao wamewajulisha Arsenal kuhusu kumchukua Walcott kwa mkopo kwa msimu wote. (Sun)


Sevilla wana uhakika wa kumpata kwa mkopo mshambuliaji wa Chelsea Michy Batshuayi, 24. (ESPN)

Giggs ateuliwa meneja wa Wales
Meneja wa Wales Ryan Giggs anatathmini hatua ya kumfanya mchezaji mwenza katika Manchester United Paul Scholes kuwa mmoja wa kikosi chake. (Mail)


Mtaalamu wa masuala ya kandanda mfaransa Julien Lauren ana uhakika kuwa mshambulia wa PSG mBrazil Neymar 25, na mchezaji aliye kwenyr mkopo raia wa Ufaransa Kylian Mbappe, 19, wakati mmoja watakuwa wachezaji wa Real Madrid. (BBC Radio 5 live)

West Brom wanatoa ofa ya pauni milioni 12 kwa kiungo wa kati wa Fulham Tom Cairney, 26. (Sun)

Birmingham City wanataka kumsani beki wa Feyenoord Miquel Nelom, 27. (Mail)

Arsenal wako makini kumsaini kiungo wa kati wa Manchester United Henrikh Mkhitaryan 28, kama sehemu ya makubaliano ambayo yatamleta mshambuliaji raia wa Chile Alexis Sanchez, 29, huko Old Trafford. (Guardian)

Manchester City wamejitoa katika makubaliano ya kumsaini Sanchez na pesa zilizoitishwa na ajenti wake. (Goal)
Lambert ateuliwa meneja Stoke City

Arsenal ilifanya mazungumzo na mshambuliaji wa Bordeaux Malcom siku ya Jumapili na wanatarajia kulipa pauni milioni 40 kwa mBrazil huyo wa miaka 20. (Guardian)

Arsenal na Chelsea wanammezea mate mshambuliaji wa Watford raia wa Brazil Richarlison 20. (Sun)

No comments:

Post a Comment