BUKOBA SPORTS

Thursday, February 22, 2018

KIPA DAVID DE GEA AONYESHA MAKALI YAKE GOLINI, AWASHANGAZA MASHABIKI WA SEVILLA - UEFA CHAMPIONS LEAGUE WAKITOKA 0-0.

Kipa David de Gea ameibeba Manchester United kwa kuokoa mpira kiufundi katika mchezo Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16 ulioishia kwa sare tasa dhidi ya Sevilla.
Kipa David de Gea ameibeba Manchester United kwa kuokoa mpira kiufundi katika mchezo Ligi ya Mabingwa Ulaya hatua ya 16 ulioishia kwa sare tasa dhidi ya Sevilla.
Kipa huyo raia wa Hispania aliokoa mpira hatari ya Joaquin Correa na Steven N'Zonzi kabla ya kuonyesha ubora wake kwa kuokoa kwa mkono mmoja mpira wa kichwa wa Luis Muriel.
Manchester United ambao hawakuonyesha ushindani wa kutosha walipoteza nafasi za kufunga kupitia kwa Romelu Lukaku pamoja na Marcus Rashford aliyepaisha mpira golini.


Kipa David de Gea akiokoa kiufundi mpira wa kichwa uliopigwa na Luis Muriel

Paul Pogba akinywa maji (kulia) ni Martial ambao wote walianzia benchi.

The Frenchman battles for possession with former Manchester City winger Jesus NavasJesus Navas na Paul Pogba
De Gea aliokoa michomo mingi langoni mwake

De Gea aliokoa Mipira kama miwili ambayo Mashabiki wa Sevilla walikuwa wakijua tayari wamepata bao.

No comments:

Post a Comment