
Bw.Abdu Kagasheki mgeni rasmi

Mdau na Mgeni wa Wanasalamu Kagera Bw. Muganyizi ambaye ni Mkurugenzi wa ZIT

Dj Slay akimrekodi mgeni rasmi Bw. Abdu Kagasheki

Wadau Watuma Salamu

Mwenyekiti wa Wanaumoja wa Watuma salamu Kagera akisalimia Wanasalamu waliowasili ukumbini hapo New Coffee TreeHotel

Anaitwa Ras Parachichi na hapa ndiye aliyeshikilia gitaa kuwapa Wanaumoja wa Watuma Salamu Kagera Kitu roho inapenda.

Shamira Bashir Mtangazaji wa vipindi vya Taarab Radio Kasibante Fm 88.5 ya mjini Bukoba akizungumza na kuwakaribisha wanaumoja wa watuma salamu katika ukumbi wa New Coffee Tree hotel ya hapa mjini Bukoba

Bw. Abdu Kagasheki akiendelea kupachikiwa msosi

Karibu na wewe...

Saa ya Msosi

kulia ni Teso Boy (Mwenyekiti wa Umoja wa Watuma salamu Kagera akiwa anapata msosi meza kuu)

Dj Slay Johashi Mzee wa The score Kasibante FM kushoto akiendelea kupata msosi na wanasalamu

Shamira kushoto akiendelea kusakata muziki pamaja na wadau wa U

muziki aina ya Zilipendwa

Mziki ukiendelea
No comments:
Post a Comment