BUKOBA SPORTS

Wednesday, October 22, 2014

RSC ANDERLECHT 1 vs 2 ARSENAL, GIBBS NA LUKAS PODOLSKI WAISAMBARATISHA ANDERLECHT KATIKA DAKIKA ZA MAJERUHI!! PODOLSKI ATUPIA BAO LA USHINDI. "HAPPY BIRTHDAY ARSENE WENGER"

Ninyi!!!! Mtajiju!! Podolski akiwapa alama ya kuwajuza kuwa wao ni balaa moto wa kuotea mbali!Podolski akipongezwa kwa kufunga bao la Ushindi!!Dakika za lala salama dakika ya 89 Gibbs ndie aliyeisawazishia bao Arsenal na kufanya 1-1 hapo hapo kwenye dakika za nyongeza Lukas Podolski alifunga bao la Ushindi na kufanya 2-1 dhidi ya RSC Anderlecht. Gunners walikaribia kuteketea huko Brussels, Ubelgiji walipocheza na Anderlecht na kumpa zawadi njema Meneja wao Arsene Wenger aliekuwa akisheherekea Miaka yake 65 ya kuzaliwa.Lukas Podolski shoots and scoresPodolski akiwawasha bao la ushindi kwenye dakika za nyongezaPodolski akiungana na wenzake kushangilia bao lake la UshindiMzee Wenger chupuchupu sikukuu yake ya kuzaliwe izame!!! Arsenal's coach Arsene Wenger protests
What!!!Lakini mambo yalikwenda sawa!Flamini akiwekwa chini na Mchezaji wa Anderlecht
Dakika ya 71 kipindi cha pili Arsenal walifungwa bao na mchezaji Andy Najar baada ya kupata krosi kama kona kutoka kwa Dennis Praet na kujitwisha kichwa na kumfunga kipa wa Arsenal.Gibbs ndie aliyeanza kujibu mapigo kwa kufunga bao la kusawazisha kuwa 1-1Hatari tupu!! Dakika ya 89 bao...Andy Najar akishangilia bao lake la kwanza na la pekee.Andy Najar celebrates after scoring against ArsenalAndy Najar akishangilia vikali baada ya kuibatia ba la kichwa timu yake.1-0

Alexis Sanchez akisikitika baaa ya kukosa bao kwa kupiga frii kiki na kuitoa nje!Alexis sanchez akiwakusanya!!!!
KUNDI LILIVYO KWA SASA BAADA YA MECHI.
 PWDLGFGAGDPts
Borussia Dortmund330090+99
Arsenal320164+26
Anderlecht301226-41
Galatasaray301229-71
Emiliano Martinez wa  Arsenal akipasha leo hii kabla ya Mchezo wao wa Klabu bingwa Ulaya  (Champions League) Ugenini.
 Alex Oxlade-Chamberlain akipasha nae kwenye Uwanja wa  Vanden Stock
Aaron Ramsey akipasha tayari kwa kipute  dhidi ya Anderlecht

No comments:

Post a Comment