MARA baada kumalizika Fainali ya Kombe la Dunia huko Maracana, Rio de Janeiro Nchini Brazil ambayo Germany waliifunga Argentina Bao 1-0 na kutwaa Kombe la Dunia, FIFA ilitangaza Tuzo za Wachezaji Bora na Straika wa Colombia, James Rodriguez kutwaa Buti ya Dhahabu.
Rodriguez, ambae Timu yake Colombia ilitolewa kwenye Robo Fainali na Brazil, alipachika Bao 6 kwenye Fainali hizo akifuatiwa na Thomas Muller wa Germany aliekuwa na Bao 5.
Lionel Messi alipewa Mpira wa Dhahabu kwa kuteuliwa kuwa Mchezaji Bora.
Nae Kipa wa Germany, Manuel Neuer, ameteuliwa Kipa Bora na kushinda Glovu ya Dhahabu.
Kwa upande wa Vijana, Mchezaji Bora ni Paul Pogba ndie alietwaa Tuzo ya Mchezaji Kijana.Manuel Neuer na Lionel Messi
WAGOMBEA
MPIRA WA DHAHABU
Argentina
-Angel Di Maria
-Javier Mascherano
-Lionel Messi
Germany
-Mats Hummels
-Toni Kroos
-Phillip Lahm
-Thomas Muller
Wengine
-James Rodriguez [Colombia]
-Neymar [Brazil]
-Arjen Robben [Netherlands]
GLOVU YA DHAHABU
- Keylor Navas [Costa Rica]
-Manuel Neuer [Germany]
-Sergio Romero[Argentina]
RUZO MCHEZAJI BORA KIJANA
- Memphis Depay [Netherlands]
-Paul Pogba [France]
-Raphael Varane [France]
Rodriguez, ambae Timu yake Colombia ilitolewa kwenye Robo Fainali na Brazil, alipachika Bao 6 kwenye Fainali hizo akifuatiwa na Thomas Muller wa Germany aliekuwa na Bao 5.
Lionel Messi alipewa Mpira wa Dhahabu kwa kuteuliwa kuwa Mchezaji Bora.
Nae Kipa wa Germany, Manuel Neuer, ameteuliwa Kipa Bora na kushinda Glovu ya Dhahabu.
Kwa upande wa Vijana, Mchezaji Bora ni Paul Pogba ndie alietwaa Tuzo ya Mchezaji Kijana.Manuel Neuer na Lionel Messi
WAGOMBEA
MPIRA WA DHAHABU
Argentina
-Angel Di Maria
-Javier Mascherano
-Lionel Messi
Germany
-Mats Hummels
-Toni Kroos
-Phillip Lahm
-Thomas Muller
Wengine
-James Rodriguez [Colombia]
-Neymar [Brazil]
-Arjen Robben [Netherlands]
GLOVU YA DHAHABU
- Keylor Navas [Costa Rica]
-Manuel Neuer [Germany]
-Sergio Romero[Argentina]
RUZO MCHEZAJI BORA KIJANA
- Memphis Depay [Netherlands]
-Paul Pogba [France]
-Raphael Varane [France]
No comments:
Post a Comment