Ramadhani Singano 'Messi' alianza kuifungia bao la mapema Simba SC kipindi cha kwanza.
Rashid Mandawa anaisawazishia bao Kagera Sugar kipindi cha pili dakika ya 59 na kufanya 1-1 bao la 10 kwa Mchezaji Rashid Mandawa kwa msimu huu.
Mchezaji Mshambuliaji Chipukizi wa Simba Ibrahim Ajibu anaipatia bao la pili Simba SC kwa mkwaju wa Penati na kufanya 2-1 dhidi ya Kagera Suger.
Kocha msaidizi wa Kagaera Sugar akihojiwa na waandishi wa Habari
Rashid Mandawa anaisawazishia bao Kagera Sugar kipindi cha pili dakika ya 59 na kufanya 1-1 bao la 10 kwa Mchezaji Rashid Mandawa kwa msimu huu.
Mchezaji Mshambuliaji Chipukizi wa Simba Ibrahim Ajibu anaipatia bao la pili Simba SC kwa mkwaju wa Penati na kufanya 2-1 dhidi ya Kagera Suger.
Kocha msaidizi wa Kagaera Sugar akihojiwa na waandishi wa Habari
No comments:
Post a Comment