Real Madrid wao wanacheza Jumapili Ugenini na Celta Vigo Timu ambayo waliichapa 3-0 katika Mechi ya kwanza.
Mabingwa Watetezi Atletico Madrid, ambao Juzi walipigwa 1-0 na Real na kutupwa nje ya UEFA CHAMPIONZ LIGI, Jumamosi wapo Nyumbani kucheza na Elche wakiwa tayari wameshapoteza matumaini ya kutetea Taji lao.
LA LIGA
RATIBA
Ijumaa Aprili 24
21:45 Cordoba CF v Athletic de Bilbao
Jumamosi Aprili 25
17:00 RCD Espanyol v FC Barcelona
19:00 Atletico de Madrid v Elche CF
21:00 Getafe CF v Levante
23:00 Real Sociedad v Villarreal CF
Jumapili Aprili 26
13:00 Malaga CF v Deportivo La Coruna
18:00 UD Almeria v SD Eibar
20:00 Sevilla FC v Rayo Vallecano
22:00 Celta de Vigo v Real Madrid CF
Jumatatu Aprili 27
21:45 Valencia C.FGranada CF
No comments:
Post a Comment