BUKOBA SPORTS

Sunday, March 25, 2012

LIVERPOOL WABANWA TENA MBAVU NA WIGAN.

Dalglish  alilaumu matokeo hayo mabaya na ya mfululizo wa mechi mbili kufungwa pia
Dalgrish alisema kama tukicheza jumapili-jumatano-jumamosi lazima tutafanya vibaya kwa kuwa tutakuwa tumechoka, kiongozi huyo alikemea hilo baada ya kupigwa na timu iliyokuwa mkiani na hatimaye kuinyanyua pointi na kuitoa mkiani.

High hopes: Suarez rises to bundle the ball home
Suarez baada ya kuona mambo ni magumu afanya ujanja na kuingiza goli kwa mkono, ujanja huo alipigwa njano na kipigo kubaki pale pale 2-1.
 

High hopes: Suarez rises to bundle the ball home

Unaware: Suarez celebrates as Lee Mason blows his whistle
Unaware: Suarez celebrates as Lee Mason blows his whistle

No comments:

Post a Comment