Amefariki usiku wa kuamkia ijumaa iliyopita jijini Dar es salaam alipopelekwa baada ya kutokea hospitali ya Bugando Mwanza akisumbuliwa na ugonjwa wa Moyo.
Mapema, Kanisani Marehemu Askofu Jackson Kabuga aliombewa misa katika Kanisa la Tanzania Assemblies of God(TAG) kabla ya kuelekea Nyumbani kwake Kagondo nje kidogo na Mji wa Bukoba.
Viongozi mbalimbali walihudhuria leo Katika kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Hamugembe Bukoba kutoa heshima zao za mwisho.
No comments:
Post a Comment