BUKOBA SPORTS

Monday, April 2, 2012

LIVERPOOL YACHAPWA, KIPA WAO REINA APIGWA KADI NYEKUNDU.

Bao mbili za Papiss Cisse zimewapa ushindi Newcastle wa bao 2-0 dhidi ya Liverpool kwenye mechi ya Ligi Kuu England iliyochezwa leo Sports Direct Arena na na kuwafanya wawe na Pointi 53 sawa na Chelsea lakini Newcastle wako nyuma yao na wapo nafasi ya 6 kwa kuwa na tofauti ya mabao hafifu.

 On the slide: Liverpool are now 11 points behind Newcastle and one place below Everton
               ...............eeee Tumekwisha point 11 nyuma ya Newcastle ...
Kipigo hiki kimewafanya Liverpool wawe wamepoteza mechi za Ligi 6 kati ya 7 walizocheza mwisho na wapo nafasi ya 8 Pointi moja nyuma ya Mahasimu wao Everton walio nafasi ya 7.
 Unwelcome return: Carroll endured a torrid afternoon at his former club
Papiss Cisse alipiga bao la kwanza kwa kichwa kufuatia krosi ya Hatem Ben Arfa katika Dakika ya 19 na Papiss Cisse alifunga bao la pili Dakika ya 59 toka pasi ya Demba Ba [Pichani].

 Using your head: Reina was sent off for angling his head at James Perch
 Reina alipompiga kichwa mchezaji na kulimwa red faster.
 Using your head: Reina was sent off for angling his head at James Perch
                                         Mshahara huu hapa kula nyukundu.....
 Enforced change: Enrique finished the game playing goal after Reina's sending off

Liverpool walimaliza mechi hii wakiwa Mtu 10 baada ya Kipa wao Pepe Reina kupewa Kadi Nyekundu na Refa Martin Atkinson kufuatia kulipiza kwake baada ya kuchezewa faulo na John Perch.

Papiss Demba Cisse aliyewalaza Liverpool
                                     Papiss Demba Cisse aliyewalaza Liverpool





VIKOSI
Newcastle [4-3-3]: Krul, Simpson, Williamson, Perch, Gutierrez, Guthrie, Tiote, Cabaye, Ben Arfa, Cisse, Ba.
Akiba: Elliot, Ferguson, Santon, Gosling, R.Taylor, Vuckic, Ameobi


Liverpool: Reina, Flanagan, Carragher, Skrtel, Enrique, Gerrard, Spearing, Shelvey, Bellamy, Carroll, Suarez
Akiba: Doni, Aurelio, Maxi, Henderson, Coates, Kuyt, Downing
Refa: Martin Atkinson



No comments:

Post a Comment