Uthibitisho wa Uhamisho wa Mchezaji huyo wa Kimataifa kutoka Croatia umetolewa kwenye Tovuti ya Tottenham ambako Mwenyekiti wa Klabu hiyo, Daniel Levy, ametoa shukrani kwa Modric na kusema hawakutaka kumuuza ili imebidi tu.

Habari hizi pia zimethibitishwa na Rais wa Real Madrid, Florentino Perez, ambae ameelezea furaha yake na kumkaribisha Modric huko Madrid.Luka Modric alihamia Spurs Mwaka 2008 kutoka Dinamo Zagreb na kuichezea Spurs Mechi 160 na kufunga Mabao 17.
KUHUSU LUKA MODRIC
Luka Modrić is a Croatian footballer who plays for Real Madrid and for the Croatia national football team as a midfielder. Modrić's childhood coincided with the Croatian War of Independence.
KIMO: 1.75 m
UZITO: 67 kg
NAFASI: Midfielder
Spouse: Vanja Bosnic (m. 2011)
MSHAHARA: Euro 5,600,000 (2012)
No comments:
Post a Comment