Ndani ya Dakika 90, Man United walipoteza nafasi safi ya kufunga bao baada ya kupewa Penati katika Dakika ya 45 kufuatia Nani kuchezewa faulo na Cristian Tello lakini mkwaju wa Wayne Rooney ukaokolewa na Kipa Valdes na kumrudia tena Rooney aliepiga nje.
Kwenye Mikwaju ya hizo Penati 3, kwa Man United Nani alipiga posti ya juu na ya Ashley Young iliokolewa na Kipa Pinto alieingia badala ya Valdes na kwa Barca Xavi na Gerard Pique walifunga.
Ashley Young alikosa penati hapa...anabalaa gani? huyu Young... na kwenye EURO alichemka..
Ashley Young failed to score from the penalty spot for Manchester United
VIKOSI
Man United: De Gea; Valencia, Vidic, Ferdinand, Evra; Nani, Anderson, Scholes, Young; Rooney, Welbeck
Akiba: Lindegaard, Berbatov, Hernandez, Carrick, Powell, Kagawa, Macheda, Wootton, Brady, M Keane, Lingard
Barcelona: Valdes; Alves, Puyol, Mascherano, Adriano; Roberto, Busquets, Iniesta; Sanchez, Messi, Tello
Akiba: Pinto, Pique, Fabregas, Xavi, Villa, Bartra, Rodriguez, Alba, Montoya, Afellay, Fontas, Sanchez, Rafinha
No comments:
Post a Comment