West Ham italipa pauni milioni Saba Nukta Tano kama malipo ya mwanzo na kulipa masalio kwa muda.
Klabu ya Sunderland vile vile imeripotiwa kutaka kumsajili Jarvis, lakini haijawasilisha ombi lolote rasmi.
Kocha wa West Ham Sam Allardyce amekuwa akifuatilia hali ya mchezaji huyo kwa muda na anatarajiwa usajili wa mchezaji huyo utakamilika kabla ya mechi yao siku ya jumamosi dhidi ya Swansea.
Jarvis, ambaye ameichezea timu ya taifa ya England mechi mocha, aliichezea klabu ya Wolverhampton siku ya Jumanne wakati ilipoilaza Bransley kwa mabao Matatu kwa Moja.
No comments:
Post a Comment