

Nyumba ya Dorcas Moses mwalimu wa shule ya Msingi ya Nyamagana ambye alikuwa kwenye gari aina ya Rav 4 aliyepewa lifti na kamanda Ballow usiku kumrudisha kwake. Hapa Mwandishi wa Gazeti la Mwananchi Fredrick Katulanda akitoka kufanya mahojiano.

Mtoto wa kaka yake Mwalimu Dorcas akiongea kuhusiana na tukio la Kifo cha kamanda Ballow ambapo yeye ndie alikwenda kufungua geti kwa ajili ya Mama yake Dorcas aweze kuingia ndani ila kabla ya kufungua ndipo aliposikia risasi ikipigwa.

Hapa ni nyumbani kwa marehemu kamanda Ballow.

Hili ndilo geti ambalo kifo cha kamanda Ballow kilipotokea usiku wa kuamkia leo wakati mwalimu Dorcas Mosese alipokuwa akirudi nyumbani kwa lifti ya gari la Kamanda Ballow.

Baadhi ya jamaa yake marehemu nyumbani kama walivyokutwa na kamera yetu.
Kwa picha zaidi bofya read more
No comments:
Post a Comment