BUKOBA SPORTS

Saturday, October 13, 2012

ROONEY NA WELBECK WAIMALIZA SAN MARINO 5-0, MECHI ZA KUFUZU KOMBE LA DUNIA ULAYA!


Maandalizi ya kwenda kugaguliwa kabla ya mechi,Waingereza washinda 5-0

Rooney kapteni akifunga goli kwa penalti.

Theo aliumia kwa kugongana na goli kipa na sasa yupo Hospitali kwa matibabu.

Alex Camblaine miaka 19 akishangilia goli kwa kushukuru Mungu.


Ujerumani yaifunga Ireland 6-1 mechi ilikuwa ya upande mmoja kuzidiwa

No comments:

Post a Comment