KAMPUNI ya Keys Production, imeandaa onyesho kabambe ndani ya Jangwani Sea Breeze, litakalopambwa na wasanii nyota wa muziki wa kizazi kipya, Ben Pol na Linah. 
Kiingilio cha kawaida katika onyesho hilo litakalopambwa pia na Live Band kitakuwa ni sh. 20,000.
Onyesho hilo litakaloanza saa 1 za usiku linatarajiwa kuwa la aina yake, likipambwa na nyimbo za mahaba huku watu wakipata fursa ya kucheza na maji katika bwawa la kuogelea.
No comments:
Post a Comment