RYAN GIIGGS AKIIFUNGIA MANCHESTER UNITED GOLI DHIDI YA QPR
Wakati Mkongwe Ryan Giggs akiifungia Manchester United bao la pili katika pambano la juzi la ushindi wa bao 2-0 dhidi ya QPR alikuwa anatimiza idadi ya michezo 999 katika mapambano yote ambayo ameshiriki hii inajumlisha mapambano ya kimataifa na yale ya klabu yake ya Manchester united
Kwa sasa haifahamiki ni medali ngapi ambazo amekusanya katika maisha yake ya soka hii ni katika mashindano yote ya ligi ya uingereza, kombe la klabu bingwa barani ulaya, kombe la F.A pamoja na lile kombe la ligi maarufu kwa sasa kama Capital one.
Mchezo wa 1,000 kwa mchezaji huyo utakamilika siku ya jumamosi wakati Manchester united itakopokuwa katika dimba la nyumbani la Oldtrafford kuwakaribisha Norwich, imefahamika kwamba wakati Ryan Giggs akianza kuichezea Manchester united baadhi ya wachezaji wengine walikuwa bado hawajazaliwa.
Ryan Giggs alianza kuitumikia klabu ya mcnchester united tarehe 2/03/ 1991 katika mechi ambayo Manchester ilipata kipigo cha bao 2-0 kutoka kwa Everton.
Kama mambo yakienda sawa mchezaji huyo akifikisha mapambano 1,000 msimu huu ataingia moja kwa moja katika kundi la magwiji wa zamani ambao wamewahi kucheza mapambano 1,000 katika ligi ya uingereza, wachezaji hao ni Tony Ford na Graham Alexander.
Umri wa Ryan Giggs tangu ajiunge manchester tarehe 2 March 1991
Paul Scholes, 16 years, four months Anderson, two years, 11 months
Rio Ferdinand, 12 years, four months Javier Hernandez, two years, eight months
Michael Carrick, nine years, eight months Alexander Buttner, two years, one month
Nemanja Vidic, nine years, five months Shinji Kagawa, one year, 11 months
Patrice Evra, nine years, two months Tom Cleverley, one year, seven months
Robin van Persie, seven years, seven months Chris Smalling, one year, four months
Darren Fletcher, seven years, one month Ben Amos, 11 months
Anders Lindegaard, six years, 11 months Rafael, nine months
Ashley Young, five years, eight months David de Gea, three months
Antonio Valencia, five years, seven months Danny Welbeck, three months
Wayne Rooney, five years, five months Phil Jones, not born (D.O.B 21 Feb 1992)
Nani, four years, four months Nick Powell, not born (D.O.B 23 Mar 1994)
Jonny Evans, four years two months
Rio Ferdinand, 12 years, four months Javier Hernandez, two years, eight months
Michael Carrick, nine years, eight months Alexander Buttner, two years, one month
Nemanja Vidic, nine years, five months Shinji Kagawa, one year, 11 months
Patrice Evra, nine years, two months Tom Cleverley, one year, seven months
Robin van Persie, seven years, seven months Chris Smalling, one year, four months
Darren Fletcher, seven years, one month Ben Amos, 11 months
Anders Lindegaard, six years, 11 months Rafael, nine months
Ashley Young, five years, eight months David de Gea, three months
Antonio Valencia, five years, seven months Danny Welbeck, three months
Wayne Rooney, five years, five months Phil Jones, not born (D.O.B 21 Feb 1992)
Nani, four years, four months Nick Powell, not born (D.O.B 23 Mar 1994)
Jonny Evans, four years two months
ORODHA WA WACHEZAJI WALIOFANIKIWA KUCHEZA MICHEZO 1,000 NA KLABU ZAO
Peter Shilton
Ray Clemence
Pat Jennings
David Seaman
Tony Ford
Graham Alexander
Ray Clemence
Pat Jennings
David Seaman
Tony Ford
Graham Alexander
No comments:
Post a Comment