BUKOBA SPORTS

Monday, June 10, 2013

MASHUJAA BAND YASHUKURU VYOMBO VYA HABARI NA WADAU WA MUZIKI WA DANSI.

UONGOZI wa Bendi ya muziki wa dansi ya Mashujaa 'Wana kibega', umewashukuru wapenzi, mashabiki na vyombo vya habari kuiwezesha bendi hiyo kuchukua tuzo tano za Kili Music Award 2013.
Bendi hiyo imefanikiwa kutwaa tuzo hizo mwishoni mwa wiki iliyopita ambapo utoaji wa tuzo hizo ulifanyika Mliman City Dar es Salaam. Akizungumza jana Dar es Salaam, Meneja wa bendi hiyo Martin Sospeter, alisema kuwa ni jambo la kumshukuru Mungu na kila mdau wa muziki kwa kuweza kutupigia kura na kupata tuzo hizo.Alisema kuwa kwa namna moja au nyingine bila ya kupata ushirikiano wao wa...

No comments:

Post a Comment