BUKOBA SPORTS

Wednesday, July 3, 2013

MWENGE WA UHURU KUKESHA KATIKA UWANJA WA KAITABA MANISPAA YA BUKOBA 2-07-2013 JUMANNE

Mwenge wa Uhuru umepokelewa leo mapema ukitokea Wilaya ya Muleba na kuingia Manispaa ya Bukoba, baada ya kupokelewa ulizungushwa maeneo mbalimbali katika Manispaa ya Bukoba kwa ajili ya kuzindua Miradi mbalimbali ya maendeleo, Zoezi la ufunguaji wa miradi lilipokamimilika mwenge huu uliletwa katika uwanja wa kaitaba ambapo kiongozi wa mbio za Mwenge kitaifa Juma Ally Sumai alitoa ujumbe wa mwenge,mbali na mambo mengi yaliyoelezwa asisitiza swala la umoja kwa Watanzania wote, Aligusia swala la Udini na kudumisha Amani na Upendo katika Taifa la Tanzania.


Wananchi wakiwa kaitaba


salamu
Salamu mkimbiza mwenge kitaifa
Kulia makamu meya manispaa Alexsanda ngalinda na yusufu ngaiza mwenyekiti ccm bukoba manispaa
Kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa juma ally sumai akitoa maelezo kuhusu ujumbe wa mwenge 2013

Umati mkubwa jukwaa kuu

Ticha!!!
wakuu wa idara manispaa ya bukoba
watendaji mbalimbali manispaa ya bukoba
Ulinzi mkali
wananchi wakisikiliza ujumbe wa mwenge
Mkuu wa wilaya bukoba zippola pangani akitete na mkurugenzi wa manispaa,kesho mwenge unaingia bukoba vijijini

No comments:

Post a Comment