BUKOBA SPORTS

Sunday, September 22, 2013

REFA HOWARD WEBB KUCHEZESHA MECHI YA DABI YA MANCHESTER CITY vs MANCHESTER UNITED LEO JUMAPILI SEPT. 22


MANCHESTER CITY vs MANCHESTER UNITED
Mwamuzi ambae alichezesha Fainali ya Kombe la Dunia ya Mwaka 2010 kati ya Spain na Holland, Howard Webb, ndie ameteuliwa kuchezesha Mechi ya Ligi Kuu England ambayo ni Dabi ya Manchester kati ya Man City na Man United itakayochezwa Uwanja wa Etihad leo Jumapili Septemba 22.
Bora tuukose wote!!
Mara ya mwisho kwa Howard Webb kuichezesha Man United ilikuwa ni Mwezi Mei Uwanjani Old Trafford kwenye Mechi na Chelsea ambapo Refa huyo alimpa Kadi Nyekundu Rafael.
Nipishe!!

RATIBA
Jumapili 22 Septemba

15:30 Arsenal v Stoke City - Referee: Mike Dean
15:30 Crystal Palace v Swansea City - Referee: Kevin Friend
18:00 Cardiff City v Tottenham - Referee: Mark Clattenburg
18:00 Manchester City v Manchester United - Howard Webb

No comments:

Post a Comment