Muda wa Chakula ulifika Bw. Mgenzi Byabachwezi na Bi Saada wakipata huduma ya Msosi hapa.
Hongereni sana wanangu!!!
Meza kuu Bw. Frank Muganyizi kulia, anefata Bw. Mgenzi, Bi. Saada na Bi. Monica Mke wa Mr. Frank Muganyizi wakiwa pamoja.
Bw. Mgezi akimpa mic mkewe atete na Uma wa watu waliojitokeza ukumbini hapo.
Bw. Mgenzi Byabachwezi na Bi Saada wakipata neno kutoka kwa mzee.
No comments:
Post a Comment