
Ngassa atakuwa katika hali nzuri kama ilivyo kwa wachezaji wengine, tunajua kuwa amekuwa akifanya vizuri katika mechi zilizopita.

Najua ni mechi ngumu, lakini tunachofanya ni kuangalia nini cha kufanya hasa tukipitia makosa katika mechi zilizopita.
Simba na Yanga zinakutana Jumapili katika mechi ya kwanza itakayozikutanisha msimu huu.
No comments:
Post a Comment