BUKOBA SPORTS

Monday, October 14, 2013

STEVEN NA NEEMA WAMEREMETA


Steven akimvisha pete mke wake, Neema katika ndoa iliyofungwa katika kanisa la Msimbazi Center jijini Dar es Salaam.

Neema akimvisha pete Steven.

Maharusi wakiwa na vyeti vyao.

Maharusi wakiwa wamepozi kwa picha.


Picha ya pamoja.





No comments:

Post a Comment