Wachezaji wa Manchester United wakipongezana baada ya Smalling kufunga bao katika dakika ya 77 dhidi ya wenyeji Bayer Leverkusen huko Germany, United imeshinda kwa jumla ya mabao 5-0.
Wayne Rooney pamoja na kutofunga leo ametoa pasi zilizosabaisha mabao manne leo hii!! kazi yake leo ilikuwa kusindikiza pasi safi zikiwemo kona!!
Antonio Valencia ndie alieanza kuliona lango la wenyeji baada ya kupata krosi safi kutoka kwa Wayne Rooney na kufanya 1-0.
Emir Spahic kwenye patashika na kujifunga bao!
Jonny Evans (kushoto) akikimbizwa huku akishangilia bao lake
Chris Smallingakitupia la nne
Nani akitupia la mwisho la dfakika za lala salama dakika ya 88 na kufanya 5-0
Wakipongezana kwa kazi nzuri hapa !
VIKOSI:
Bayer Leverkusen: Leno, Spahic, Omer Toprak, Donati, Reinartz (Hegeler 70) Rolfes, Bender (Kohr 81), Can, Castro, Son (Derdiyok 70), Kiessling.Subs not used: Lomb, Stafylidis, Wollscheid, Kruse.
Booked: Kohr.
Manchester United: De Gea, Smalling, Ferdinand, Evans, Evra (Buttner 70), Giggs, Jones, Valencia (Young 80), Kagawa, Nani, Rooney (Anderson 80).
Subs not used: Lindegaard, Cleverley, Hernandez, Welbeck.
Goals: Valencia 22, Spahic (OG 30), Evans 65, Smalling 77, Nani 88.
Ref: Svein Oddvar Moen.
Man of the match: Wayne Rooney
No comments:
Post a Comment