MANCHESTER City imeifumua mabao 4-2 Viktoria Plzen Uwanja wa Etihad usiku huu katika mchezo wa Ligi ya Mabingwa Ulaya. Mabao ya City yamefungwa na Aguero kwa penalti dakika ya 33, Nasri dkika ya 65, Negredo dakika ya 79 na Dzeko dakika ya 90, wakati mabao ya Viktoria Plzen yamefungwa na Horava dakika ya 43 na Tecl dakika ya 69.Manchester City, ambao tayari walikuwa wamefuzu kabla ya Mechi hii, wameitwanga Plzen Bao 4-2 katika Mechi iliyochezwa Uwanja wa Etihad.
Bao za City zilifungwa na Agüero, kwa Penati, Nasri, Negredo na Dzeko huku Bao za Plzen zikifungwa na Horava na Tecl.
No comments:
Post a Comment