Ni Hotel ya kisasa ipo katika hali nzuri na imejengwa hivi karibuni ipo Bukoba Misenyi Bunazi
Taswira yake
Ni Royal Fountain Hoteli
Bw. Frank Muganyizi (kushoto) ambaye ndie mmiliki wa hoteli hiyo akifurahia jambo siku ya ufunguzi wa Hoteli hiyo kutoka kwa Kiongozi wa Dini.
Ina bustani nzuri kwa nje
Wananchi walikuwa wamejitokeza kwa wingi siku ya leo ya ufunguzi wake
Bw. Frank Muganyizi akiwa maeneo ya Hoteli hii mpya ya Royal fountain
Ukiwa unaenda Uganda utakutana nayo upande wa kulia Bunazi kwani ipo karibu sana na barabara hiyo iendayo Uganda.
Kwa ndani
Ufunguzi huo wa Hoteli ulitangulia na Ibada na hapa ni viongozi wa Dini wakienda eneo maalum tayari kuanza ibada hiyo
Familia ya Mzee Frank kwa makini ikisikiliza neno kutoka kwa kiongfozi wa Dini kwenye Ibada hiyo
Mama nae alikuwa tayari kusikiliza neno
Mzee Frank Muganyizi akifuatilia Ibada maalum
Wote mnakaribishwa...Royal Fountain Hoteli...
Taswira yake
Ni Royal Fountain Hoteli
Bw. Frank Muganyizi (kushoto) ambaye ndie mmiliki wa hoteli hiyo akifurahia jambo siku ya ufunguzi wa Hoteli hiyo kutoka kwa Kiongozi wa Dini.
Ina bustani nzuri kwa nje
Wananchi walikuwa wamejitokeza kwa wingi siku ya leo ya ufunguzi wake
Bw. Frank Muganyizi akiwa maeneo ya Hoteli hii mpya ya Royal fountain
Ukiwa unaenda Uganda utakutana nayo upande wa kulia Bunazi kwani ipo karibu sana na barabara hiyo iendayo Uganda.
Kwa ndani
Ufunguzi huo wa Hoteli ulitangulia na Ibada na hapa ni viongozi wa Dini wakienda eneo maalum tayari kuanza ibada hiyo
Familia ya Mzee Frank kwa makini ikisikiliza neno kutoka kwa kiongfozi wa Dini kwenye Ibada hiyo
Mama nae alikuwa tayari kusikiliza neno
Mzee Frank Muganyizi akifuatilia Ibada maalum
Wote mnakaribishwa...Royal Fountain Hoteli...
No comments:
Post a Comment