BUKOBA SPORTS

Monday, December 16, 2013

LIVE: CHAMPIONS LEAGUE DRAW, FIND OUT WHO MANCHESTER CITY,MANCHESTER UNITED, CHELSEA AND ARSENAL WILL PLAY IN THE LAST 16

DROO ya UEFA CHAMPIONS LIGI, ili kupanga Mechi za Raundi ya Mtoano ya Timu 16 inafanyika leo huko Nyon, Uswisi Jumatatu hii Desemba 16 kuanzia Saa 8:00 Mchana.
Katika Droo hiyo, Mabingwa Watetezi, Bayern Munich na Washindi wa Pili, Borussia Dortmund, wamo pamoja na wenzao wengine wawili wa Germany, Bayer Leverkusen na FC Schalke.
Ligi Kuu England inazo Timu 4 ambazo ni Mabingwa wake Manchester United, Man City, Chelsea na Arsenal. 
Bringer of doom: Luis Figo holds up the name of Barcelona during the draw for the last 16
Luis Figo akionesha juu karatasi inayowaonesha Barcelona leo kwenye droo ya 16 ambapo Barca wamepangiwa kukutana na Man City.
Master of fate: UEFA general secretary Gianni Infantino picks out a ball during the draw in Nyon
UEFA general secretary Gianni Infantino leo huko Nyon kwenye Droo ya hatua ya 16
MATOKE KAMILI
Manchester City v Barcelona
Olympiacos v Manchester United
AC Milan v Atletico Madrid
Bayer Leverkusen v Paris Saint-Germain
Galatasaray v Chelsea

Schalke v Real Madrid
Zenit v Borussia Dortmund
Arsenal v Bayern Munich 

RAUNDI YA MTOANO YA TIMU 16
-MECHI ZA KWANZA: 18–19 & 25–26 Februari 2014
-MARUDIANO: 11–12 & 18–19 Machi 2014

ROBO FAINALI
-DROO: 21 Machi 2014
-MECHI ZA KWANZA: 1–2 Aprili 2014 \
-MARUDIANO: 8–9 Aprili 2014

NUSU FAINALI
-DROO: 11 Aprili 2014
-MECHI ZA KWANZA: 22–23 Aprili 2014
-MARUDIANO: 29–30 Aprili 2014
FAINALI
4 Mei 2014 Estádio da Luz, Lisbon, Portugal

No comments:

Post a Comment