Oxlade-Chamberlain akifunga bao katika kipindi cha kwanza baada ya kutokea frii kiki na wachezaji kucheza vyema ndani ya box huku Arteta akishinikiza bao hilo.
MAPEMA WAKIINGIA KWENYE UWANJA WA EMIRATES...
Kocha wa Arsenal, Arsene Wenger akiingia kwenye uwanja wa Emirates
Wote wanaanza kipindi cha kwanza...
-ARSENAL imefanya mabadiliko (saba) 7 kwenye kikosi chake...Huku Liverpool wakifanya mabadiliko matatu tu..
-ARSENAL imefanya mabadiliko (saba) 7 kwenye kikosi chake...Huku Liverpool wakifanya mabadiliko matatu tu..
VIKOSI:
Arsenal starting XI
Fabianski, Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Monreal, Flamini, Arteta, Oxlade-Chamberlain, Ozil, Podolski, Sanogo.

Liverpool starting XI
Jones, Flanagan, Skrtel, Agger, Cissokho, Gerrard, Allen, Coutinho, Sterling, Sturridge, Suarez.
Fabianski, Jenkinson, Koscielny, Mertesacker, Monreal, Flamini, Arteta, Oxlade-Chamberlain, Ozil, Podolski, Sanogo.
Liverpool starting XI
Jones, Flanagan, Skrtel, Agger, Cissokho, Gerrard, Allen, Coutinho, Sterling, Sturridge, Suarez.
RATIBA/MATOKEO
Jumapili Februari 16
Everton 3 v Swansea 1
Sheff Utd 3 v Nottm Forest 1
Arsenal 2 v Liverpool 1
Jumatatu Februari 17
22:45 Brighton v Hull
No comments:
Post a Comment