BUKOBA SPORTS

Saturday, February 15, 2014

FA CUP: MANCHESTER CITY 2 v CHELSEA 0, SAMIR NASRI ARUDI NA KUPATA BAO, STEVAN JOVETIC NAE AKIFUNGA BAO KWENYE UWANJA WAO ETIHAD USIKU HUU!

Bao mbili kutoka kwa Stevan Jovetic na Samir Nasri zimetosha kuipatia ushindi wa bao 2-0 Manchester City dhidi ya timu ya Blues anayoifundisha Jose Mourinho "Chelsea" kwenye uwanja wa Etihad Stadium.Stevan Jovetic akishangilia bao lakeWachezaji wa Man City wakipongezana baada ya Jovetic kuwapatia baoJovetic akimfunga kipa Petr CechKipa wa Chelsea Petr Cech hoi baada ya kufungwa bao!!!Edin Dzeko na David Luiz wakiugombania mpira!
Vincent Kompany na Samuel Eto'o kwenye patashika!!David Silva akibanwa na John Obi MikelKupoteza kubaya!Edin Dzeko na David Luiz kwenye majanga!!
Samir Nasri akishangilia bao lake

No comments:

Post a Comment