BUKOBA SPORTS

Sunday, February 9, 2014

TOTTENHAM 1 v EVERTON 0, EMMANUEL ADEBAYOR AIPATIA USHINDI SPURS!!


Mchezaji matata Emmanuel Adebayor akishangilia bao lake katika dakika ya 65 kipindi cha pili dhidi ya  Everton, Ambapo mtanange huo umemalizika kwa bao 1-0.

Adebayor akiachia shuti kali mbele ya  Kyle Walker na kumfunga kipa wa Everton  Tim Howard na kufanya 1-0 dhidi ya Everton.

Meneja wa England  Roy Hodgson nae alikuwemo uwanjani White Hart Lane kucheki mtanange huo

Kipa wa  Everton Tim Howard akiokoa mpira mbele ya  Emmanuel Adebayor katika kipindi cha pili.

Meneja wa  Everton Roberto Martinez na Meneja wa Muda wa Tottenham Tim Sherwood wakiwa ndani ya mstari kusaka pointi muhimu na kusimamia wachezaji wao leo kwenye uwanja wa White Hart Lane kwenye matanange wa Ligi kuu England. Spurs wameshinda bao 1-0 dhidi ya Everton waliokuwa ugenini.

No comments:

Post a Comment