Usiku huu, Manchester City, ambao wako Nafasi ya Pili Pointi 2 nyuma ya Arsenal, na Chelsea walio Nafasi ya 3, Pointi 3 nyuma ya Man City, wanakutana kwenye Mechi ya Ligi Kuu England ambayo matokeo yake yatafafanua zaidi nini kitajiri mbio za Ubingwa Msimu huu.
Man City (Possible, 4-2-3-1): Hart; Zabaleta, Kompany, Demichelis, Clichy;
Fernandinho, Touré; Silva, Jovetic, Navas; Negredo.
NJE: Agüero (hamstring), Milner (groin), Nasri (knee), Javi Garcia (unspecified)
NJE: Agüero (hamstring), Milner (groin), Nasri (knee), Javi Garcia (unspecified)
Chelsea (Possible, 4-2-3-1): Cech; Ivanovic, Cahill, Terry,
Azpilicueta; Ramires, Lampard; Willian, Oscar, Hazard; Eto'o.
NJE: Torres, Van Ginkel (knee).
No comments:
Post a Comment