Rooney akiwa kwenye patashika za kukabana na mchezaji wa Southampton Steven Davis kwenye Uwanja wa Saint Mary usiku huu.Robin van Persie aliwapachikia bao mapema dakika ya 12 baada ya kuwatoka mabeki wa Southampton.
Rooney akiwa kwenye patashika za kukabana na mchezaji wa Southampton Steven Davis kwenye Uwanja wa Saint Mary usiku huu.
No comments:
Post a Comment