BUKOBA SPORTS

Saturday, December 6, 2014

STOKE CITY 3 vs 2 ARSENAL, GUNNERS WAKWAMA UGENINI BRITANNIA STADIUM!, PETER CROUCH, BOJAN NA JONATHAN WALTERS WAKIIPA USHINDI!


Ni mapema muno Stoke walionesha nia ya kuifunga Arsenal, pale Peter Crouch alipoanza kuliona lango Timu ya Arsenal dakika ya 1.
BAO kutoka kwa Peter Crouch dakika ya 1, Bojan Krkic dakika ya 35 na la tatu likifungwa na Jonathan Walters dakika ya 45 zimewapa Ushindi wakiwa kwenye Uwanja wao BRITANNIA STADIUM.
Hatari tupu!! Wachezaji wa Stoke wakipongezana..
Dakika ya 72 alioneshwa kadi ya njano ya pili na kuondoshwa kwa kadi nyekundu.
Arsenal walitoka nyuma ya bao 3-0 za kipindi cha kwanza na kuanza kurudisha bao hizo na Dakika ya 68 Santi Cazorla alianza kurudisha bao kwa kufunga penati na kufanya 3-1 na baadae dakika ya 70 Aaron Ramsey alifunga bao la pili na kufanya 3-2.Bojan Krkic aliiandikia bao la pili Stoke City dakika 35 kipindi cha kwanza. Dakika ya 45 tena J. Walters aliwachapa Gunners bao la tatu na kufanya 3-0. Mpira kuanza kaandika bao dakika ya 1Mpaka mapumziko kila uwanja ulikuwa namna hiiView image on TwitterStoke walishamuumiza Arsenal 3-0.

No comments:

Post a Comment