BUKOBA SPORTS

Sunday, December 14, 2014

SWANSEA CITY 1 vs 2 TOTTENHAM

Christian Eriksen aliwapa bao la ushindi Spurs dakika za majeruhi dakika 89 kwa kufanya 2-1 dhidi ya Swansea City waliocheza soka safi hasa kipindi cha pili.Bony Dakika y 47 kipindi cha pili aliisawazishia bao Swansea City kwa kufanya 1-1Swansea City hoi!!!1-0, Kane akiwapiga bao la  kichwa Swansea City Kane awafungulia lango Spurs

No comments:

Post a Comment