Wenger alieleza: “Fowadi kali ya Ligi Kuu England inapaswa kufunga kati ya Goli 70 hadi 100 kwa Msimu. Bado hatujafikia huko lakini hii ya sasa ndio bora tangu enzi za kina Thierry Henry!”
Wenger aliongeza: “Wikiendi hii ni mara ya kwanza ambayo tunaweza kuwapanga Mafowadi wetu wote na hii itatupa nafasi ya kuona nini uwezo wao.”
Kuhusu Olivier Giroud, Wenger alifafanua: “Staili ya Giroud si ile ya kuvutia sana kama Robin van Persie lakini amezidi kuimarika na sasa ana uwezo mkubwa!”
No comments:
Post a Comment