Bastian Schweinsteiger ndie aliyeifungia bao Bayern Munich walipoichapa Hertha Berlin 1-0 huko Allianz Arena jana jumamosi.
Schweinsteiger akiwaongoza wenzake kushangilia baada ya kuifunga bao 1-0 Hertha na kuiwezesha Bayern kukwapua Ubingwa kwa mara nyingine.
Mitchell Weiser katikati akikokota mpira na kumtengea Schweinsteiger
Dante akijichukulia mpira karib na kichwa cha Nico Schulz wa Hertha kwenye Uwanja wa Allianz Arena
Schweinsteiger akiwapa dole mashabiki wao
Pep Guardiola ameiongoza Bayern kushinda Kombe hili na bado ana nafasi ya kupigana mpaka mwisho Kutwaa Kombe la Klabu Bingwa Ulaya mwezi ujao Mei
Schulz akijijutia baada ya kukosa nafasi ya wazi kuifunga Bayern Munich
Thomas Mueller akichuana na Valentin Stocker
Guardiola akitoa pongezi kwa Vijana wake
Bayern wana pointi 15 juu dhidi ya Timu ya pili kitu ambacho kinawafanya wanyakue Kombe hilo kwa mara ya 25.
No comments:
Post a Comment