Jose Mourinho sasa amefikisha Mechi 13 bila kufungwa na Arsene Wenger baada ya Leo Arsenal na Chelsea kutoka Sare ya 0-0 Uwanjani Emirates na sasa Chelsea wanahitaji Pointi 6 kati ya Mechi zao 5 zilizobaki kutwaa Ubingwa.
Chelsea, chini ya Mourinho, imeichapa Arsenal ya Wenger mara 7 na kutoka Sare 6 na Leo Mourinho alihakikisha kuwa Rekodi yake haichafuliwa kwa kucheza kwa tahadhari kubwa ya kujilinda na kuwaacha Arsenal watawale Mpira. Sare hii imeibakisha Arsenal Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 10 nyuma ya Vinara Chelsea na wamefungana kwa Pointi na Man City waliokamata Nafasi ya Pili kwa Ubora wa Magoli lakini Arsenal wamecheza Mechi 1 pungufu.
Man United ipo Nafasi ya 4 ikiwa Pointi 2 nyuma ya Arsenal na City.Kocha Jose Mourinho wa Chelsea
Patashika kwenye lango la Chelsea
Chelsea, chini ya Mourinho, imeichapa Arsenal ya Wenger mara 7 na kutoka Sare 6 na Leo Mourinho alihakikisha kuwa Rekodi yake haichafuliwa kwa kucheza kwa tahadhari kubwa ya kujilinda na kuwaacha Arsenal watawale Mpira. Sare hii imeibakisha Arsenal Nafasi ya 3 wakiwa Pointi 10 nyuma ya Vinara Chelsea na wamefungana kwa Pointi na Man City waliokamata Nafasi ya Pili kwa Ubora wa Magoli lakini Arsenal wamecheza Mechi 1 pungufu.
Man United ipo Nafasi ya 4 ikiwa Pointi 2 nyuma ya Arsenal na City.Kocha Jose Mourinho wa Chelsea
Patashika kwenye lango la Chelsea
No comments:
Post a Comment