Congo DR, ambao walikuwa tayari wamefuzu kabla Mechi hii, Leo walifungwa 3-1 na Cameroun ambayo sasa imeungana nao kucheza Robo Fainali.
Bao za Cameroun zilifungwa na Cameroon Yazid Atouba, Dakika ya 40, Moumi Ngemaleu, 52 na Samuel Nlend, 64 wakati Bao la Congo DR lilifungwa Dakika ya 47 Jean-Marc Makusu.
Katika Mechi nyingine ya Kundi B, Angola iliichapa Ethiopia 2-1 lakini zote ziliaga Mashindano kwa kumaliza Nafasi za 3 na 4 katika Kundi B.
Jumanne zipo Mechi 2 za mwisho za Kundi C ambalo bado hakuna iliyofuzu mapema ingawa Nigeria wana nafasi kubwa.
Jumatatu Januari 25
Ethiopia 1 v Angola 2
Cameroon 3 v DR Congo 1
Jumanne Januari 26
Guinea v Nigeria Rubavu 16:00
Niger v Tunisia Stade Régional de Nyamirambo 16:00
Jumatano Januari 27
Zambia v Mali Stade Régional de Nyamirambo 16:00
Uganda v Zimbabwe Amahoro, Kigali 16:00
ROBO FAINALI
Jumamosi Januari 30
Rwanda v Congo DR
Cameroun v Ivory Coast
Jumapili Januari 31
Mshindi Kundi D v Mshindi wa 2 Kundi C
Mshindi Kundi C v Mshindi wa 2 Kundi D
NUSU FAINALI
Jumatano Februari 3
Rwanda/Congo DR v Mshindi Kundi D/Mshindi wa 2 Kundi C
Alhamisi Februari 4
Mshindi Kundi C/Mshindi wa 2 Kundi D v Cameroun/Ivory Coast
Jumapili Februari 7
Mshindi wa 3
FAINALI
No comments:
Post a Comment