Huko King Power Stadium, ikiwa ni Marudiano baada ya Sare ya 2-2 kwenye Mechi iliyochezwa White Hart Lane, Tottenham walilipiza kisasi cha Wikiendi iliyopita cha kufungwa 1-0 na Leicester City kwa kuwachapa Vinara hao wa Ligi Kuu England Bao 2-0.
Bao za Spurs azilifungwa na Son Heung-min, Dakika ya 39, na Nacer Chadli, Dakika ya 66.
Kwenye Raundi ya 4, Tottenham watacheza Ugenini na Timu ya Daraja la chini, Colchester.
Huko A,nfield, baada ya kutoka Sare 2-2 huko Exeter City na Timu ya Daraja la chini, Exter, Jana Liverpool waliwanyuka wanyonge hao Bao 3-0.
Kwenye Raundi ya 4, Liverpool watakuwa kwao Anfield kucheza na wenzao wa Ligi Kuu England West Ham.
Raundi ya 4
Ijumaa Januari 29
2255 Derby v Man United
Jumamosi Juni 30
1545 Colchester v Tottenham
Zote kuanza Saa 12 Jioni
Arsenal v Burnley
Crystal Palace v Stoke
Nottm Forest v Watford
Oxford Utd v Blackburn
Shrewsbury v Sheff Wed
Portsmouth v Bournemouth
Aston Villa v Man City
Reading v Walsall
Bolton v Leeds
West Brom v Peterborough
Bury v Hull
2030 Liverpool v West Ham
Jumapili 31 January 2016
1630 Carlisle v Everton
1900 MK Dons v Chelsea
THE EMIRATES FA CUP 2015/16
TAREHE MUHIMU
Raundi ya 3
Ijumaa 9 Januari 2016
Raundi ya 4
Jumamosi 30 Januari 2016
Raundi ya 5
Jumamosi 20 Februari 2016
Raundi ya 6-Robo Fainali
Jumamosi 12 Machi 2016
Nusu Fainali
Jumamosi 23 Aprili 2016 & Jumapili 24 Aprili 2016
Fainali Jumamosi 21 Mei 2016
No comments:
Post a Comment