Lakini katika Dakika za 64 na 66, Chelsea walisawazisha kwa Bao za Diego Costa na Cesc Fabregas.
Hata hivyo, katika Dakika ya 90 na ushei, kizaazaa cha Kona kiliifanya Everton wapige Bao lao la 3 Mfungaji akiwa Ramiro Funes Mori alietokea Benchi.
Zikiwa zimeongezwa Dakika 7 za Majeruhi, Chelsea walisawazisha baada ya Dakika hizo 7 kumalizika kwa Bao ambalo lilionekana wazi ni Ofsaidi la Nahodha wao John Terry na kuwapa Sare ya 3-3.
No comments:
Post a Comment