Swansea City bao zake zimepatikana kupitia kwa Gylfi Sigurdsson 17 ka mkwaju wa penati na Andre Ayew dakika ya 34 alipachika bao la ushindi la pili na mtanange kumalizika kwa dakika 90, Swansea wakifanikiwa kuwabana kisawasawa Everton na kuibuka kidedea.
No comments:
Post a Comment