Guardiola, Raia wa Spain mwenye Miaka 45 na ambae sasa ni Meneja wa Bayern Munich, atambadili Manuel Pellegrini ambae ataondoka Juni 30.
Taarifa kutoka Man City imesema Pellegrini, Raia wa Chile mwenye Miaka 62, ameafiki mabadiliko haya.
Pellegrini aliteuliwa kuwa Meneja wa City Mwaka 2013 na kuiongoza Klabu hiyo kutwaa Ubingwa wa Ligi Kuu England na Kombe la Ligi Msimu uliofuatia.

KUHUSU PEP
PEP GUARDIOLA CAREER STATS
BARCELONA:
La Liga: 2008–09, 2009–10, 2010–11
Copa del Rey: 2008–09, 2011–12
Spanish Super Cup: 2009, 2010, 2011
Champions League: 2008–09, 2010–11
UEFA Super Cup: 2009, 2011
FIFA Club World Cup: 2009, 2011
BAYERN MUNICH:
Bundesliga: 2013–14, 2014–15
German Cup: 2013–14
UEFA Super Cup: 2013
FIFA Club World Cup: 2013
Meneja wa Manchester City Pellegrini akisherehekea Ubingwa wa 2014 wa Premier League huko Etihad Stadium
Pellegrini na Mwali wa Capital One Cup walipoifunga Sunderland huko Wembley 2014
No comments:
Post a Comment