Bao za Kipindi cha Kwanza za Dakika za 37 kupitia Chris Smalling na Frikiki ya Juan Mata ya Dakika ya 45 ziliwapa Man United uongozi wa 2-0 hadi Mapumziko.
Jesse Lingard alipiga Bao la 3 Dakika ya 61 na kuwapa Man United ushindi wa raha wa 3-0 ambao umeondoa presha kwa Meneja wao, Luis van Gaal, anaesakamwa hasa baada ya kufungwa Mechi 2 mfululizo zilizopita dhidi ya Sunderland, kwenye Ligi Kuu England, na toka kwa FC Midtjylland huko Denmark kwenye UEFA EUROPA LIGI.
Shrewsbury: Leutwiler, Whitbread, Grandison, Black, Whalley, Brown, Grimmer, Ogogo, Mangan, Knight-Percival, Akpa Akpro.
AKIBA: Halstead, Sadler, Vernon, Clark, Cole, Smith, Grandin.
Manchester United: Romero, Varela, Smalling, Blind, Borthwick-Jackson, Schneiderlin, Herrera, Memphis, Mata, Lingard, Martial.
AKIBA: Henderson, McNair, Poole, Carrick, Pereira, Riley, Keane.
Refa: Robert Madley
No comments:
Post a Comment