City walitangulia kufunga kwa Penati ya Sergio Aguero katika Dakika ya 27 Penati ambayo ilitolewa na Refa Mike Dean baada ya Shawcross kumvuta Otamendi wakati wa Kona.
Hadi Mapumziko Stoke 0 City 2.
Dakika ya 49 Bojan Krkic, Mchezaji aliewahi kuichezea Barcelona wakati Meneja wa sasa wa City Pep Guardiola yuko huko, aliisawazishia Stoke kwa Penati iliyotolewa baada ya Raheem Sterling kumshika Shawcross wakati wa Kona.
City wajihakikishia Pointi 3 kwa kufunga Bao lao la 3 Dakika ya 85 kupitia Nolito kufuatia kazi njema kati ya De Bruyne, Silva na Iheanacho aliempasia Nolito alieingizwa mwishoni kumbadili Aguero katika Dakika ya 83.
Nolito tena akapiga Bao la 4 Dakika ya 94.
No comments:
Post a Comment