Papy Djilobodji, Mchezaji wa Kimataifa wa Senegal, alinunuliwa na Chelsea kutoka Nantes ya France lakini alicheza Mechi 1 tu lakini hivi karibuni aliichezea Chelsea chini ya Meneja mpya Antonio Conte walipocheza Kirafiki na Rapid Vienna.
Djilobodji, mwenye Miaka 27, Msimu uliopita alikuwa kwa Mkopo huko Germany akiichezea Werder Bremen
Sunderland wamekuwa na mafanikio mazuri kwenye Mechi zao za majaribio na Jana walitoka Sare 1-1 na Borussia Dortmund huko Austria.
No comments:
Post a Comment