Taifa Stars inayodhaminiwa na Bia ya Serengeti, imeanza vyema kampeni za kucheza hatua ya Robo fainali kwa kucheza na Malawi leo hii Jumapili, Juni 25 dhidi ya timu ya malawi, michezo iliyoandaliwa na Baraza la Mpira wa Miguu la nchi za Kusini mwa Afrika (Cosafa).
Tanzania si mwanachama wa Cosafa, lakini imealikwa katika mashindano hayo na imepangwa kundi A na timu za Mauritius, Malawi na Angola wakati Kundi B ni Msumbiji, Shelisheli, Madagascar na Zimbabwe. Kinara wa kila kundi atakwenda moja kwa moja hatua ya robo fainali.
Tanzania si mwanachama wa Cosafa, lakini imealikwa katika mashindano hayo na imepangwa kundi A na timu za Mauritius, Malawi na Angola wakati Kundi B ni Msumbiji, Shelisheli, Madagascar na Zimbabwe. Kinara wa kila kundi atakwenda moja kwa moja hatua ya robo fainali.
No comments:
Post a Comment